News Details

Event

Mahafali Ya 22 Ya Chuo Kikuu Mzumbe

24 Nov Joseph Kiphizi Fri 24 Nov 2023

RAIS Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na wajumbe wa Baraza la Chuo na pamoja na Menejimenti ya Chuo, alipowasili Chuo Kikuu Mzumbe, kwa ajili ya Sherehe za Mahafali ya 22 ya Chuo Kikuu Mzumbe yaliyofanyika Disemba 23, 2023 Kampasi Kuu Morogoro.

0 Comments

No Comments at the moment