News Details

Event

Mwaliko Kwenye Maonesho Ya Vyuo Vikuu 2020 Viwanja Vya Mnazi Mmoja Dar Es Salaam

27 Aug Joseph Kiphizi Thu 27 Aug 2020

Chuo Kikuu Mzumbe tunapenda kuwaalika wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe kutembelea banda letu katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu yatakayofanyika  viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam kuanzia tarehe 31 Agosti hadi tarehe 5 Septemba, 2020.


Njoo na rafiki zako pamoja na  na Wale wote wanaohitaji kujiunga na Chuo Kikuu Mzumbe  kupata maelezo  ya kina ya  programu zinazotolewa na Chuo chetu.Pia huduma ya udahili itatolewa palepale kwenye banda letu.


Karibuni sana "Tujifunzi kwa maendeleo ya Watu".

0 Comments

No Comments at the moment