News Details

Event

Uzinduzi Wa Kitabu

24 Nov Joseph Kiphizi Fri 24 Nov 2023

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda azindua kitabu kilichoandikwa na Prof. Joseph Kuzilwa ambaye pia ni Mhitimu na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Mstaafu
Kitabu hicho chenye jina "Usimamizi wa Mabadiliko Makubwa katika Taasisi za Elimu ya Juu” kina maudhui yanayohusu mabadiliko ya kihistoria ya Chuo Kikuu Mzumbe yaliyotokea tangua mwaka 1953 kilipoanzishwa kikiwa Kituo cha Mafunzo ya Serikali za Mitaa mpaka kuwa Chuo Kikuu Mzumbe.

0 Comments

No Comments at the moment